Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwalimu aliyefaulisha wanafunzi WOTE Ahamishwa

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Machala, Christopher Rutuku, aliyewahi kufaulisha wanafunzi wote, anadaiwa kuhamishwa shuleni hapo baada ya kutuhumiwa kuruhusu waandishi wa habari kupiga picha shule iliyojengwa kwa udongo na makuti huku ikiwa taabani. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Rutuku alisema alipewa barua ya uhamisho bila kulipwa posho

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>