Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke Amkata Mkono Mumewe Kisa Kikiwa ni Wivu Wa Mapenzi

$
0
0
Polisi mkoani Tanga inamshikilia Gladness Daniel (18) mkazi wa Kijiji cha Kwekivu kata ya Kibirashi wilayani Kilindi mkoani Tanga kwa tuhuma za kumkata mkono mume wake kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.   Akizungumza katika kikao cha hali ya uhalifu mkoani Tanga kilichowashirikisha maofisa usalama barabarani jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Fraisser Kashai, alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>