Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Keissy awavuruga tena Wabunge wa Zanzibar.....Vurugu zaibuka, Naibu Spika aokoa Jahazi

$
0
0
Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, jana alifanikiwa kudhibiti kuchafuka hali ya hewa bungeni baada ya wabunge kutoka Zanzibar kutaka kumpiga  Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy, (pichani) wakichukizwa na kauli yake waliyoitafsiri kuwa ni ya kuikejeli Zanzibar. Keissy, ambaye mara kwa mara amekuwa akijikuta akiingia katika msuguano na wabunge kutoka Zanzibar, alitoa kauli hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>