Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa....Mmiliki wake Atumia Jina la Sumaye Kutapeli

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu, baada ya kutelekezwa na uongozi wa chuo hicho, kiasi cha kushindwa kupata chakula kwa siku tano mfululizo, hali iliyosababisha baadhi yao kuzirai.   Hayo yameibuka baada ya uongozi wa chuo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>