Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madereva wa Kampuni ya Mwananchi Wakamatwa na Mirungi

$
0
0
Polisi mkoani Iringa wanawashikilia watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema tukio hilo lilitokea jana saa 11 alfajiri katika kituo cha ukaguzi cha Igumbilo mkoani hapa na baada ya ukaguzi polisi walibaini magunia mawili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>