Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Bararani, linatarajia
kuanzisha operesheni ya lazima ya kukagua magari ili kukabiliana na
ajali za mara kwa mara.
Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (pichani), jijini Dar es Salaam jana.
Kamanda Mpinga alifafanua kuwa operesheni hiyo itawahusu madereva wa magari aina zote.
“Lengo kuu la
↧