Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Anayoyafanya Jaji Warioba hata Mwalimu Nyerere Aliyafanya pia!

$
0
0
WAVURUMISHAO makombora dhidi ya Jaji Joseph Warioba wamekuwa wakitoa hoja kwamba mzee huyo muda wake wakuzungumzia suala la katiba mpya ulishamalizika kwa minajili kuwa Tume yake ya kukusanya maoni ya Katiba mpya ilishavunjwa. Kelele zimepigwa katika bunge maalum la katiba, mtaani wanasema “mzee pumzika muda wako umekwisha” hawataki tena atumie uhuru wake wa kikatiba kuzungumzia mambo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>