Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo

WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za...

View Article


Ndege Yaanguka Serengeti...Watatu wahofiwa kupoteza maisha

UCHUNGUZI wa awali kuhusu kupotea kwa ndege ya mizigo ya Shirika la Safari Express ya nchini Kenya, umeonesha kuwa ndege hiyo yenye usajili namba 5Y SXP, aina ya Fokker 27, imepata ajali.   Taarifa ya...

View Article


Baba AMNYONGA Mtoto wake na kumzika mwenyewe kwenye kibanda chake.....Kisa...

Mtoto  mwenye umri  wa mwaka mmoja na miezi miwili , Regina Geofrey ameuawa kikatili kwa kunyongwa  na baba yake mzazi Geofrey Kilngwa ‘Simbaiwe” (27) kwa kuwa alizaliwa  akiwa ameatanguliza makalio...

View Article

Tamko Zito la Jukwaaa la Wakristo Tanzania juu ya Mchakato wa Katiba

Sisi, wajumbe wa Jukwaa la Wakristo Tanzania, tuliokutana tarehe 27 hadi 28 Agosti, 2014, Dar es Salaam , tumepata fursa ya kutafakari, kujadili na kujielimisha kwa kina yaliyomo katika Rasimu ya pili...

View Article

Kibaka Achomwa Moto Mjini Kahama na Wananchi Wenye hasira kali.....Polisi...

Jeshi la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga Jana lililazimika kutumia risasi za moto baada ya wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuua watuhumiwa kisha kuwachoma moto.   Inasemekana...

View Article


Picha za Uchi za Watu maarufu Zaanikwa mitandaoni .....FBI Waingia Mzigoni...

Idara ya upelelezi ya nchini marekani FBI imetoa tamko kuwa  inachunguza kwa ukaribu madai ya maelfu ya accounts za watu maarufu kutekwa,na kinachotafutwa hasa ni picha za utupu za watu hao maarufu...

View Article

Kampuni ya Ujerumani yaelezea kiini cha Vurugu kwenye show ya Diamond,...

Kampuni ya Britts Event iliyohusika kuandaa show ya Diamond Stuttgart, Ujerumani imeeleza kwa kina kiini cha vurugu kubwa zilizotokea kwenye show hiyo na kusababisha uharibifu mkubwa huku baadhi ya...

View Article

Lady Jay Dee ateuliwa kuwa balozi wa kampeni ya uzazi wa Mpango

Hospitali ya Marie Stopes imemchagua Lady Jay Dee kuwa balozi wa kampeni ya kuhamasisha uzazi wa mpango na kupinga mimba za utotoni inayoitwa ‘Chagua Maisha’.   Akiongea na TBC, Lady Jay Dee amesema...

View Article


Ofisa Usalama wa Taifa feki Atiwa Mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kumkamata Ofisa Usalama wa Taifa feki ambaye amekuwa akijipatia fedha kutoka kwa wafanyabiashara kwa kuwahusisha na makosa yanayohatarisha...

View Article


Ufisadi Nusura Umtoe CHOZI Waziri Chiza

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, nusura atokwe na machozi baada ya kukuta bwawa la umwagiliaji lililojengwa kwa zaidi ya sh. bilioni 3 limebomoka.   Hali hiyo ilimfanya...

View Article

Samuel Sitta Ageuka Mbogo kwa Wanaombeza kwamba Hafai kuwa Rais wa Tz kwa...

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amewashukia wanasiasa wanaomkejeli kwa kudai kuwa hafai kuwa rais na amesisitiza kwamba wenye maamuzi juu ya suala hilo ni wananchi na si...

View Article

Jumba la Big Brother Africa lateketea kwa moto, uzinduzi wa msimu mpya...

Moto mkubwa umezuka kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots katika studio za Sasani jijini Johannesburg, Afrika Kusini na hivyo kuahirishwa kwa kuanza msimu mpya uliokuwa uzinduliwe Jumapili hii,...

View Article

UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono

UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, umebainisha elimu ya afya ya uzazi bado inahitajika ili kuwakinga na tabia hatarishi....

View Article


Rais Kikwete Ajadili Ugaidi Kenya

RAIS Jakaya Kikwete amewasili jijini Nairobi, nchini Kenya, juzi usiku kuhudhuria mkutano maalumu wa wakuu wa nchi zinazounda Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU), ambalo Tanzania ni...

View Article

Babu Tale aeleza ujumbe waliotumiwa na Promota wa Ujerumani kuhusu Diamond na...

Kufuatia tukio la vurugu kubwa zilizotokea wakati wa show ya Diamond Platinum huko Stuttgart, Ujerumani, promota wa kampuni ya Britts event ameutumia ujumbe uongozi wa Diamond. Akiongea na The Jump...

View Article


Lukuvi azomewa mbele ya Rais Kikwete

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amejikuta katika wakati mgumu mbele ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kuzomewa hadi kukatisha hotuba yake akipingwa na...

View Article

Lady Jaydee Adai Maadu zake Wamebadilisha Wimbo.....Walianza kusema Jay Dee...

Malkia wa muziki wa R&B, Lady Jay Dee amedai kuwa maadui zake wamebuni njia mpya ya kumwangusha, baada ya zile za awali kutofanikiwa.    Katika waraka mrefu aliouandika katika mtandao wa facebook,...

View Article


VIDEO Inatisha: Kundi la ISIS lamkata kichwa Mwandishi Mwingine wa Marekani,...

Kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Iraq na Syria (ISIS) limetekeleza mauji mengine ya kutisha kwa kumkata kichwa mwandishi  mwingine wa habari wa Marekani.     Mwandishi huyo aliyetajwa kwa jina la...

View Article

Nyani awagawia watu pesa India...Kazitoa Wapi??

Nyani mmoja katika jimbo la Himachal Pradesh Kaskazini ya India, amewagawia watu pesa taslimu kutoka mtini.   Taarifa zinasema kuwa watu waliokuwa wanajivinjari katika mji wa Shimla jimboni humo,...

View Article

Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda

Jumatano ya wiki iliyopita ndio liliibwa hili gari aina ya BMW lisilopenya risasi ambalo huwa linakuwepo kwenye msafara wa Rais Kenyatta, na taarifa ya Ikulu ilisema liliibwa wakati dereva wake ambae...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>