Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo

$
0
0
WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).   Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza kufanya ukaguzi endelevu na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa wale watakaokaidi kutumia mashine hizo.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>