Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Samuel Sitta Ageuka Mbogo kwa Wanaombeza kwamba Hafai kuwa Rais wa Tz kwa kuwa Bunge la katiba Limemshinda....Ahamishia hasira kwa Kubenea

$
0
0
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, amewashukia wanasiasa wanaomkejeli kwa kudai kuwa hafai kuwa rais na amesisitiza kwamba wenye maamuzi juu ya suala hilo ni wananchi na si vinginevyo.   Sitta alitoa kauli hiyo jana bungeni mjini Dodoma wakati akitoa taarifa juu ya utaratibu wa kupokea mawasilisho ya kazi zilizofanywa na Kamati za Bunge Maalum la Katiba.   Alisema wapo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>