Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baba AMNYONGA Mtoto wake na kumzika mwenyewe kwenye kibanda chake.....Kisa cha kumnyonga eti ni kwa sababu Mtoto alitanguliza MAKALIO wakati wa kuzaliwa

$
0
0
Mtoto  mwenye umri  wa mwaka mmoja na miezi miwili , Regina Geofrey ameuawa kikatili kwa kunyongwa  na baba yake mzazi Geofrey Kilngwa ‘Simbaiwe” (27) kwa kuwa alizaliwa  akiwa ameatanguliza makalio yake . Baba wa  binti  huyo  ambaye pia  ni  mganga wa kienyeji  anayeishi kitongoji cha Mwikang’ombe, kijijicha cha Katuma  ,wilayani Mpanda alitenda unyama huo  kwa madai kuwa mtoto 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>