Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamko Zito la Jukwaaa la Wakristo Tanzania juu ya Mchakato wa Katiba

$
0
0
Sisi, wajumbe wa Jukwaa la Wakristo Tanzania, tuliokutana tarehe 27 hadi 28 Agosti, 2014, Dar es Salaam , tumepata fursa ya kutafakari, kujadili na kujielimisha kwa kina yaliyomo katika Rasimu ya pili ya Katiba na mjadala unaoendelea katika Bunge Maalumu la Katiba. Baada ya mjadala wa kina, tunatoa tamko letu kama ifuatavyo:   Tunaipongeza Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo ilikusanya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>