Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kibaka Achomwa Moto Mjini Kahama na Wananchi Wenye hasira kali.....Polisi Watumia Risasi za Moto kumnusuru kibaka mwingine

$
0
0
Jeshi la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga Jana lililazimika kutumia risasi za moto baada ya wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuua watuhumiwa kisha kuwachoma moto.   Inasemekana watuhumiwa hao walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na kujeruhi kwa mapanga watoto wawili usiku wa kuamkia  jana.   Kwa mujibu wa  habari kutoka wilayani Kahama, juzi usiku

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>