Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za Uchi za Watu maarufu Zaanikwa mitandaoni .....FBI Waingia Mzigoni kunusuru jahazi

$
0
0
Idara ya upelelezi ya nchini marekani FBI imetoa tamko kuwa  inachunguza kwa ukaribu madai ya maelfu ya accounts za watu maarufu kutekwa,na kinachotafutwa hasa ni picha za utupu za watu hao maarufu ambazo zimekua zikianikwa mitandaoni bila ya muwekaji kujulikana. Katika tamko la FBI liliripotiwa na NBC News, wameeleza kuwa walikuwa wanafahamu kuhusu vitendo vya wezi wa njia za mtandao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>