Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

CHADEMA Wampiga na kumjeruhi Vibaya mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba

MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa...

View Article


Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.   Sambamba na hilo,...

View Article


Kamati ya Wassira yabariki adhabu ya kifo ( Kunyongwa)

LICHA ya sheria ya kunyonga kupigiwa kelele na jumuiya za kimataifa, wajumbe wa kamati namba sita ya Bunge Maalumu la Katiba wamependekeza iendelee kutumika nchini.   Akizungumza na waandishi wa...

View Article

Shibuda, Arfi: Tupo tayari kuadhibiwa CHADEMA

Wabunge wa Chadema, Said Arfi na John Shibuda wamesema hawana hofu yoyote juu ya uamuzi utakaochukuliwa dhidi yao na uongozi wa chama hicho kwa kitendo chao cha kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la...

View Article

Kibonde wa Clouds FM aachiwa kwa dhamana Oysterbay

Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa tangu mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za kusababisha ajali ya gari na kutoa...

View Article


Mume Wa Mtu anayedaiwa kumpa mimba MBWA Wake Kufikishwa mahakamani muda wowote

Lile sakata la mume aliyetajwa kwa jina la Hamis Juma (pichani akiwa na mkewe), mkazi  wa Majohe Mji Mpya, Ilala jijini Dar kudaiwa na mkewe, Cecilia Hamis kwamba amempa mimba  mbwa yameibuka mapya....

View Article

Homa ya INI ni Hatari kuliko UKIMWI

UGONJWA wa homa ya ini umeonekana kuwa tishio kwa wananchi kuliko Ukimwi baada ya takwimu ya miezi mitatu kuonesha maambukizi yake yapo kwa wastani wa asilimia 5.6 dhidi 1.6 ya maambukizi ya Ukimwi...

View Article

NEC Yatoa Ufafanuzi kuhusu daftari la kudumu la Wapiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.   Ufafanuzi huu...

View Article


Wapakistani Waliokamatwa na Madawa ya Kulevya Watoroka nchini

Mtuhumiwa Abdul Ghan Peer Bux. ****** Imeelezwa kwamba Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa  wakiwa  na  Watanzania  wanaotuhumiwa kwa kukutwa  na  madawa ya...

View Article


MAUAJI YA KUTISHA: Majambazi Yaua Baba na Mama na kumjeruhi mtoto wa Miezi...

Watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia na kuwaua mume na mke na kumjeruhi mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 aliyeachwa na mama yake aliyeuawa  katika tukio lililotokea kijiji cha...

View Article

Wanawake wayazuia magari ya jeshi yaliyokuwa yakiwapeleka waume zao kupigana...

Ripoti kutoka Nigeria zinaeleza kuwa Jumamosi iliyopita kundi kubwa la wanawake lilijitokeza na kuzuia magari ya jeshi yaliyokuwa yamewabeba wanaume wao na wake zao yakielekea katika mji wa Gwosa,...

View Article

Kanye na Kim waonesha mahaba mazito ndani ya lift, ni muongozo kwa Jay Z na...

Neno ‘elevator’ au lift liliandikwa sana baada  ya Jay Z kupigwa vibao na Solange kisa kutaka kufanya michepuko na kushindwa kumuonesha Beyonce mapenzi ya dhati.   Hii imekuwa tofauti kwa Kanye West...

View Article

Audio: Diamond Afunguka kuhusu Wasanii wa Tanzania Wanaotaka kushindana nae

Joto la ushindani kati ya wasanii wa Tanzania linazidi kupanda huku mashabiki na vyombo vya habari wakidaiwa kuchochea kuni kwa namna moja au nyingine.   Diamond Platinumz ambaye ndiye msanii...

View Article


Shibuda Afichua Siri za CHADEMA...Adai Walimwahidi kumpa Helkopta...

SIKU moja baada ya Mbunge wa Maswa Magharibi, mkoani Simiyu, Bw. John Shibuda kutangaza kuachia ngazi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mbunge huyo ameibuka tena na kusema...

View Article

"Mpitisheni Waziri Magufuli Urais 2015".....Huu ni ushauri waliotoa Wakazi wa...

KATIKA hali isiyo ya kawaida, baadhi ya wakazi wa Tegeta, Dar es Salaam, wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpitisha Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli awe mgombea wa chama hicho kwenye nafasi...

View Article


Wema Sepetu: Najuta Kumrudia Diamond

Takribani  wiki  sasa  kumekuwa  na  taarifa  zinazoeleza  kuwa  Miss  Tanzania  2006, Wema  Sepetu  hayuko  sawa  katika  mahusiano  yake  ya  kimapenzi  na  nguli  wa  Bongo  Fleva, Diamond...

View Article

Aunt Ezekiel Anaswa na Mume Wa Mtu......Ni siku chache baada ya kuahidi kumpa...

Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel (katikati) akiwa karibu na dansa wa Wasafi Classic, Moses Yobo.  ****** Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel...

View Article


UKAWA Waanza Vita Upya.....Watangaza Maandamano nchi nzima endapo Rais...

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma na iwapo hatafanya hivyo utaongoza maandamano nchi nzima.    Umoja huo...

View Article

Mtoto Auawa kwa KIPIGO na baba yake mzazi

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Katavi ACP Dhahiri Kidavashari ****** JESHI la Polisi Wilaya ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, linamtafuta mkazi wa Malangali, Bw. Saimon Paskali kwa kosa la kuwapiga...

View Article

JWTZ kuadhimisha miaka 50 kwa staili ya aina yake

Jeshi la Wananchi la Tanzania JWTZ  jana limezindua rasmi maadhimisho ya miaka 50 ya jeshi hilo huku likiahidi uimara wa askari wa jeshi hilo katika kukabiliana na maadui wa kivita. Waziri wa Ulinzi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>