Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kibonde wa Clouds FM aachiwa kwa dhamana Oysterbay

$
0
0
Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa tangu mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za kusababisha ajali ya gari na kutoa lugha ya matusi kwa askari wa usalama barabarani.    Mwanahabari huyo alikamatwa Jumamosi asubuhi kwa tuhuma za kusababisha ajali hiyo na kuendsha gari akiwa amelewa.   Kamanda wa polisi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles