Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Picha za Kajala Masanja Masanja akifanya Mahaba Zavuja

Mshiriki  wa  filamu  mpya  ya  Fundi  Seremala, Kajala  Masanja  ameanza  kumfichua  mpenzi  wake  mpya  baada  ya  kuingiza  mtandaoni  picha  inayomuonyesha  akipigana  mabusu  na  kijana  mmoja...

View Article


Keyshia Cole adaiwa ni MSAGAJI....Video yake mpya yazua utata

Keyshia  Cole  ambaye  hivi  karibuni  amepigana  chini  na  mume  wake  Daniel Gibson 'Boobie', mwishoni  mwa  wiki jana  aliachia  video  yake  mpya  ya  wimbo  wa  She, ambayo  ilishangaza  wengi...

View Article


Tundu Lissu Atangaza kugombea Urais 2015.....Mbowe atia neno!!

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.   Ametoa kauli hiyo...

View Article

Rayuu Aomba RADHI Kwa Picha zake za Uchi......"Naiomba radhi familia yangu...

Msanii  anayefanya  vizuri  kunako  tasnia  ya  filamu  Bongo, Rayuu  Bagenzi  'Rayuu'  ambaye  amewahi  kukumbwa  na  skendo  kibao  ikiwemo  kupiga  picha  za  nusu  uchi  pamoja  na  kuonyesha...

View Article

Penny kumchezesha Diamond NGOLOLO Kwenye harusi Yake

Mtangazaji  wa 93.7  E-FM  kupitia  kipindi  cha  Genge,  DVJ Penny  ambaye  wiki  kadhaa  zilizopita  picha  zake  zilisambaa  mtandaoni  zikimuonyesha  akiwa  amevishwa  pete   ya  uchumba  huku...

View Article


" Sijawahi Kuridhishwa kimapenzi ( kufikishwa kileleni) na Mwanaume yeyote...

Staa  wa  filamu  ambaye  anashika  nafasi  ya  kwanza  kwa  kufungasha  Tanzania  nzima, Efranciya  Mangii  ameibuka  na  kupasua  jipu  kuwa  licha  ya  kuzalishwa  mtoto  mmoja  lakini  hakuna...

View Article

Ephraim Kibonde na Gardner Habash Wapandishwa Kizimbani katika Mahakama ya...

MTANGAZAJI wa Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gardner Habash wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kusababisha ajali na kudharau...

View Article

Huyu Ndo DEMU Mpya wa Diamond Plutnumz....Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ndiye...

Yaliyomtokea  Miss  Tanzania  2006, Wema  Sepetu  mwaka  jana  huenda  yakajirudia mwaka  huu  baada  ya  kugundilika  mahusiano  mapya  baina  ya  Diamond   na  msanii  wa  muziki  aina  ya  Afro...

View Article


Dalili za Ugonjwa wa Homa ya INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( Ugonjwa huu ni...

Homa  ya  Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Virusi hivyo...

View Article


Baby Madaha Anusurika Kubakwa baada ya kupanda jukwaani akiwa na kivazi cha...

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph Madaha amenusurika kubakwa nchini Kenya baada ya kupanda jukwaani akiwa ametinga kivazi cha nusu utupu. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita...

View Article

Ugonjwa wa EBOLA Waingia Dar es Salaam......Wagonjwa wawili wagundulika kuwa nao

Ugonjwa wa Ebola umeingia nchini kufuatia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na maambukizi yake kuwasili nchini. ‘Wagonjwa’ hao wamepelekwa katika kituo maalum kilichotengenezwa na serikali kwa ajili ya...

View Article

Mrembo Amwagiwa Mafuta ya Moto Usoni kisa mume wa mtu

Mwanadada aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa...

View Article

Diamond Ampiga Vijembe Wema Sepetu....Adai kuchoshwa na tabia yake ya kuwa na...

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram  akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe...

View Article


Mchange Apangua tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa.....Asema Tuhuma hizo ni za...

Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange, ameibuka na kuponda hoja za kumuhusisha kupanga njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa....

View Article

Ikulu yawakatisha tamaa UKAWA.....Yasema Rais Kikwete Hawezi Kulisitisha...

MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo...

View Article


Wasukuma Wapigwa Marufuku Kutembea na Fimbo Mitaani......Ngoma za "Chagula...

UONGOZI wa Serikali kwenye Tarafa ya Ngaherango, Wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro, umepiga marufuku wafugaji wa kabila la Wasukuma kwenye tarafa hiyo, kutembea na fimbo mitaani ili kukomesha tabia ya...

View Article

Hatimaye Jackie Cliff Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 6 Nchini China.

Baada ya kushikiliwa kwa takriban miezi tisa kwa kesi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye model maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Cliff’ amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela huku...

View Article


Rais Kikwete: Rasimu ya Katiba haitambui Uraia Pacha

Rais Jakaya Kikwete amesema suala la uraia wa nchi mbili linaonekana kutokuwa na nguvu kwa sasa kutokana na kutojitokeza katika Tume ya Mabadiliko ya Katiba, hivyo kutoingia katika Rasimu ya Katiba...

View Article

Taarifa MPYA ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Ebola kuingia Tanzania.

Ugonjwa wa Ebola ambao kwa sasa umeingia kwenye headlines za dunia kutokana na kuripotiwa kwenye nchi mbalimbali za Afrika sasa umeingia kugusa vichwa vya habari na kuihusisha Tanzania.  Waziri wa...

View Article

Wema Sepetu: Namchukia Halima Kimwana ( Dada yake Diamond) Mpaka basi

Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye amekula kiapo cha kumchukia dada wa hiyari wa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’, Halima Kimwana ambaye wamekuwa na bifu kwa kipindi kirefu huku sababu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>