Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ephraim Kibonde na Gardner Habash Wapandishwa Kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni

$
0
0
MTANGAZAJI wa Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gardner Habash wa Times FM leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kusababisha ajali na kudharau amri ya polisi na kutoa lugha ya matusi.   Watangazaji hao wamesomewa mashitaka hayo na Wakili wa Serikali, Salim Mohammed mbele ya Hakimu Aniseta Wambura.   Kibonde na Gadna wanadaiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>