Yaliyomtokea Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu mwaka jana huenda yakajirudia mwaka huu baada ya kugundilika mahusiano mapya baina ya Diamond na msanii wa muziki aina ya Afro Pop na mtangazaji wa kipindi cha Dance 100% kinachorushwa kupitia kituo cha Televisheni ya vijana EATV, Menina Atick a.k.a Menina la Diva.....
Taarifa toka vyanzo vya
↧