Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ugonjwa wa EBOLA Waingia Dar es Salaam......Wagonjwa wawili wagundulika kuwa nao

$
0
0
Ugonjwa wa Ebola umeingia nchini kufuatia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na maambukizi yake kuwasili nchini. ‘Wagonjwa’ hao wamepelekwa katika kituo maalum kilichotengenezwa na serikali kwa ajili ya waathirika wa ugonjwa huo kilichopo wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam. Mpekuzi jana ilishuhudia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa huo wakiwa wamefikishwa katika kituo hicho

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>