Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond Ampiga Vijembe Wema Sepetu....Adai kuchoshwa na tabia yake ya kuwa na mashoga Wapenda Anasa na Wanywa Pombe

$
0
0
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram  akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe zisizo na faida. Katika ujumbe huo, Diamond ameandika kuwa angewaona mashabiki wa mrembo huyo wana akili na mapenzi ya dhati kama wangemshauri apunguze mashoga wapenda anasa na kuacha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>