Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mchange Apangua tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa.....Asema Tuhuma hizo ni za Kipuuzi na ni dalili ya kifo cha CHADEMA

$
0
0
Aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Habibu Mchange, ameibuka na kuponda hoja za kumuhusisha kupanga njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa.   Alisema tuhuma hizo ni upuuzi na ni dalili ya kifo kwa chama hicho.   Hatua hiyo ya Mchange imekuja siku chache baada ya madiwani wawili wa Chadema Mkoa wa Shinyanga waliokuwa CCM,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>