Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tundu Lissu Atangaza kugombea Urais 2015.....Mbowe atia neno!!

$
0
0
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.   Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles