Mtoto wa Mwaka mmoja Afariki Dunia baada ya kutumbukia kwenye ndoo ya maji
MTOTO wa umri wa mwaka mmoja amekufa baada ya kutumbukia kwenye ndoo ya maji nyumbani kwao, wakati akicheza. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya, tukio hilo ni la juzi...
View ArticleGari la NaneNane Laua Wafanyabiashara 8.....Liliacha barabara likiwa na...
WATU wanane wamekufa papo hapo, wengine tisa wakijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Nyangao mkoani Lindi baada ya gari aina ya Land Rover, mali ya Halmashauri ya Mji Masasi kupata ajali katika...
View ArticleRais Kikwete aalikwa kuitembelea Malawi
Rais wa Malawi Peter Mutharika amemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete kuitembelea nchi hiyo kwa ziara ya kiserikali na kutaka kumalizika kwa mgogoro wa mpaka wa ziwa...
View ArticleNdugu Watano Watembea kwa Miguu na Mikono...
FAMILIA moja ya Uturuki inawapasua kichwa wanasayansi, kutokana na wanandugu watano kutokuwa na uwezo wa kutembea kama binadamu, na badala yake wanatembea mithili ya wanyama, wakitumia miguu na...
View ArticleRPC Njombe Apata Ajali.....Mlinzi wake Afariki Dunia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo,...
View Article"Bunge lisitishwe"......Maridhiano shakani...tuendelee na chaguzi zijazo
Mwanasiasa mkongwe na mjumbe wa Halmashauri Kuu (CCM), Dk. Raphael Chegeni , ameungana na wadau wengine wakiwamo wanasiasa na wanaharakati mbalimbali kutaka Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe....
View ArticleMtu mmoja auawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto Morogoro
Mtu mmoja ambaye hakuweza kufahamika mara moja ameuwawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto na watu wasiofahamika katika eneo la mkundi manispa ya Morogoro. Kwa mujibu wa wananchi walishuhudia...
View ArticleShibuda Ajitoa CHADEMA.....Atangaza hatagombea Ubunge kupitia chama hicho
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na...
View ArticleMagazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 11 Agosti 2014
Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 11 Agosti 2014
View ArticleMtoto wa mwaka mmoja Abakwa jijini Arusha
Mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja tunayemtaja kwa jina moja la Devota wa Sokoni One jijini Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru kufuatia kubakwa na njemba moja iitwayo Rajabu...
View ArticleWassira Awapongeza UKAWA Waliorudi Bungeni
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Bw. Stephen Wassira, amewapongeza wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwa kuamua kurudi...
View ArticleWerema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba nusura wapigane baada ya kupishana kauli wakati wa mjadala wa ndani ya Kamati Namba...
View ArticleRecho atamani kurudi Shule
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Recho amesema kuwa pamoja na umaarufu wake anahitaji sana kurudi shule ili aweze kuongeza uwezo wake wa kuimba... Recho alisema kuwa anaamini...
View ArticleVera Sidika na Matiti FEKI
Video Queen maarufu mjini Nairobi Kenya hivi majuzi aliwashtua watu baada ya kupost picha ya matiti yake yakiwa yamekuwa makubwa kuliko yalivyokuwa mwanzoni na akasema hivi:...
View ArticleNaibu Waziri Anusurika kupigwa na Wakulima huko Simiyu
Naibu Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika,Godfrey Zambi amenusurika kupata kipigo kutoka kwa wakulima wa zao la pamba katika kijiji cha Marekano wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kwa madai ya...
View ArticleTaarifa ya Usaili ya Jeshi la Polisi Tanzania kwa wakazi wa Mbeya
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na...
View ArticleMamia ya wananchi Wafurika jijini Dar kwa Nabii anayedaiwa kuponya watu...
Nabii Samwel Mahela wa Kanisa la Pentecostal Power Ministry (PPM) lililopo Mikocheni A (katikati mwenye suti), akitoa huduma ya maombezi katika kanisa hilo. ***** MSANII wa Filamu aliyejitambulisha...
View ArticleBinti wa Kazi Amwagiwa UJI wa Moto na mke wa Bosi wake kisa Wivu wa Mapenzi
MSICHANA mmoja mkazi wa eneo la Minga katika Manispaa ya Singida (muuza duka), amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri yake na kumsababishia maumivu makali kutokana na kile...
View ArticleMganga wa Jadi Aua mgonjwa wake kwa kumtandika fimbo kichwani wakati akimtibu...
Na Kadama Malunde-Shinyanga Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Vicent Kawawa(28) ameuawa kwa kupigwa na fimbo na kitu kizito kichwani na mganga wa kienyeji aliyekuwa anamtibu ugonjwa wa akili...
View ArticleNyani Ajipiga mamia ya Picha....Mmiliki wa Kamera iliyotumika apata wakati mgumu
Mtandao wa Wikipidia umekataa kufuta picha ambayo Nyani ilijipiga ikisema kuwa kwa sababu picha hiyo ilipigwa na Nyani ambaye ni mnyama wala sio binadamu, basi inakuwa mali ya umma. Hii ni baada ya...
View Article