Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtu mmoja auawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto Morogoro

$
0
0
Mtu mmoja ambaye hakuweza kufahamika mara moja ameuwawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto na watu wasiofahamika  katika eneo la mkundi manispa  ya Morogoro.   Kwa mujibu wa wananchi walishuhudia tukio hilo  wamesema wameshuhudia kundi la madereva wa pikipiki wakimshusha mtu huyo kisha kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto ambapo wameomba jeshi la polisi kufuatilia tukio hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>