Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Bunge lisitishwe"......Maridhiano shakani...tuendelee na chaguzi zijazo

$
0
0
Mwanasiasa mkongwe na mjumbe wa Halmashauri Kuu  (CCM), Dk. Raphael Chegeni ,  ameungana na wadau wengine wakiwamo wanasiasa na wanaharakati mbalimbali kutaka Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe. Ametilia mashaka mchakato wa katiba mpya unaoendelea kujadiliwa bungeni Dodoma, akieleza kuwa hautaweza kupata mariadhiano bila kuwagawa Watanzania na kushauri bunge hilo kusimama kwanza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>