Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mganga wa Jadi Aua mgonjwa wake kwa kumtandika fimbo kichwani wakati akimtibu nyumbani kwake

$
0
0
Na Kadama Malunde-Shinyanga Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Vicent Kawawa(28) ameuawa kwa kupigwa na fimbo na kitu kizito kichwani na mganga wa kienyeji aliyekuwa anamtibu ugonjwa wa akili nyumbani kwake katika kijiji cha Buduba kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga SACP Justus Kamugisha alisema tukio hilo limetokea Agosti

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>