Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKAWA Waanza Vita Upya.....Watangaza Maandamano nchi nzima endapo Rais Kikwete hatasitisha Bunge la Katiba

$
0
0
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma na iwapo hatafanya hivyo utaongoza maandamano nchi nzima.    Umoja huo pia umeeleza kuwa kuendelea kwa Bunge hilo ni sawa na kuvuruga mchakato wa kupata Katiba Mpya, kuiweka nchi rehani, kufuja fedha za walipakodi, kuwahadaa Watanzania kwa kupitisha Katiba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles