Ripoti kutoka Nigeria zinaeleza kuwa Jumamosi iliyopita kundi kubwa
la wanawake lilijitokeza na kuzuia magari ya jeshi yaliyokuwa yamewabeba
wanaume wao na wake zao yakielekea katika mji wa Gwosa, sehemu ambayo
inadhibitiwa na kundi la Boko Haram.
Kwa mujibu wa Prime Times ya Nigeria, wanawake hao walizua geti la
barracks katika mji wa Borno huku wengine wakilala barabarani
↧