Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema
zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza
hivi karibuni linamhusu kila raia mwenye sifa ya kupiga kura.
Ufafanuzi huu unakuja wakati pakiwa
na mawazo tofauti ya nani hasa anatakiwa kushiriki katika zoezi hilo huku
baadhi ya watu wakidhani kuwa jambo hili linawahusu wale ambao hawakupata
kujiandikisha kupiga kura
↧