Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

MAUAJI: Watoto wadaiwa kumnyonga mwenzao wa miaka mitatu

Wakazi wa Kijiji cha Masusu, Kata ya Gisambalang wilayani Hanang’ katika Mkoa wa Manyara wamepatwa na mshtuko kutokana na tukio lenye utata la kuuawa mtoto Omary Hamis mwenye umri wa mitatu, kisha...

View Article


Picha 4 za Kimahaba za Wema Sepetu na Ommy Dimpoz

Wema  Akiwa  na  SHEMEJI  yake  ndani  ya  pozi  matata    

View Article


Ajali ya Basi Yaua Watu 20 Mkoani Dodoma

Takribani watu 20 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya basi la Moro Best lililokuwa linatoka Mpwapwa kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori eneo la...

View Article

Rais Kikwete Atunukiwa Tuzo Nyingine ya Kimataifa......Tuzo hiyo ni ya kuwa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa mara nyingine ametunukiwa tuzo la kimataifa – zamu hii kwa kuwa mshindi waTuzo la Nyota wa Demokrasia Afrika  2014 – Icon...

View Article

Misukule ya Gwajima Yatinga Polisi.....Ndugu, Wazazi kuitwa ili kuthibitisha...

Baada  ya  hivi  karibuni  kutoa  waraka  mzito  unaowalenga  watumishi  wa  mungu  kwa  kile  alichodai  kuwa  ni  ukiukwaji  wa  sheria  za  mungu, Nabii Hosea  Chamungu  ametangaza  rasmi...

View Article


Huddah Monroe AMZIMIKIA Ali Kiba

Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wake ambao wanaoenesha kumpokea kwa mikono miwili tangu alipotambulisha nyimbo zake mbili ‘Mwana na Kimasomaso’, ingawa Mwana imeonekana...

View Article

Chris Brown yuko hatarini, Majirani wapya watishia kumpiga risasi

Mwimbaji wa Loyal, Chris Brown ambaye alitoka jela hivi karibuni na kuamua kutafuta amani kwa kuhama nyumba aliyokuwa akiishi kukwepa ugomvi na majirani zake ni kama ameruka majivu na kukanyaga moto....

View Article

Lady Jay Dee awashukuru mashabiki baada ya kupokea tuzo ya AFRIMMA

Lady Jay Dee ameipokea tuzo ya AFRIMMA ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki siku mbili baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo.   Baada ya kuishika mkononi tuzo hiyo ambayo inakuwa tuzo yake ya...

View Article


Ubora hafifu wa Elimu Wakwamisha AJIRA Kwa Wahitimu wa Vyuo...

Ubora hafifu wa wahitimu wa vyuo vikuu kiasi cha kusababisha wengine kutoajirika, vimeigusa serikali na sasa inatarajia kuja na mpango wa kukabili hali hiyo.   Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi...

View Article


ANGALIZO: Simu za Mkononi na Komputa hupunguza nguvu za Kiume

Watanzania wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.   Mshauri wa masuala ya...

View Article

Wema Sepetu Aanika Ugomvi wake na Mama Yake Mzazi.....Asema chanzo ni mama...

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa akiupinga...

View Article

Mfanyakazi wa Ndani ( Hausigeli ) anusurika kufa baada ya kukatwakatwa...

Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na...

View Article

Majina ya Wanaopiga Mabomu Arusha Kuanikwa Hadharani

Watuhumiwa wa mabomu katika maeneo mbalimbali mkoani Arusha, watawekwa hadharani hivi karibuni ikiwa ni pamoja na umma kuelezwa kilichotokea na waliowatuma.   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema hayo...

View Article


Fahamu alichoamua Kingwendu baada ya mkewe KUBAKWA akiwa amelewa

Muigizaji wa filamu za Kiswahili, mchekeshaji Kingwendu yuko katika wakati mgumu baada ya mkewe kubakwa na jirani yake wakati akiwa amelewa pombe.   Baada  ya  jitihada  nyingi  za  kumtafuta...

View Article

AJIRA: Watu 6,740 kuwania nafasi 47 tu za kazi TBS LEO

Watu 6,740 leo wanatarajia kufanyiwa usaili wa kuwania nafasi 47 zilizotangazwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Aprili, mwaka huu.    Usaili huo unataka kufanana na ule wa Idara ya Uhamiaji...

View Article


Lowassa: Sifadhili ACT-Tanzania.....Asema ni Upuuzi kuhusishwa na chama hicho...

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema hatua ya kuhusishwa kwake na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) ni upuuzi na mwendelezo wa mikakati ya kumchafua.   Kauli ya...

View Article

UKAWA wakutana na Waandishi wa habari.....Wasistiza Kutorejea Bungeni ,...

Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),umesema  umesikitishwa na kauli za baadhi ya viongozi wa dini zilizotolewa wakati wa baraza la Iddi za kuwataka warejee katika bunge maalum la katiba huku viongozi...

View Article


Rais Kikwete ahutubia Taifa mwisho wa Mwezi Julai, 2014 .....Ashangaa...

Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha kwa mara nyingine tena kuzungumza na taifa juu ya masuala muhimu yanayohusu...

View Article

Nisha: Sijaona mwanaume wa kunipa MIMBA

Msanii  wa  Filamu  za  kibongo  Salma  Jabu  'Nisha'  amedai  kuwa  hamjui  mwanaume  atakayeweza  kuitwa  baba  wa  watoto  wake  kwani  kila  mwanaume  anayemtaka  kimapenzi  huwa  haamini  kama...

View Article

Batuli: Nasaka Mwenye Pesa atakayekuwa tayari kunilipia Ada ya uhudumu wa Ndege

BATULI  amesema  kuwa  anahitaji  kwenda  kusomea  uhudumu  wa  ndege  lakini  anashindwa  kufanya  hivyo  kwa  sababu  ya  kubanwa  na  maisha, lakini  endapo  atapata  mtu  wa  kumlipia  ada  yupo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>