Wakazi wa Kijiji cha Masusu, Kata ya Gisambalang wilayani
Hanang’ katika Mkoa wa Manyara wamepatwa na mshtuko kutokana na tukio
lenye utata la kuuawa mtoto Omary Hamis mwenye umri wa mitatu, kisha
mwili wake kutundikwa juu ya mti.
Inadaiwa kuwa Omary aliuawa na watoto wenzake
wawili ambao ni wakazi wa kijiji hicho kwa kumpiga kwa fimbo kisha
kumnyonga na baadaye kuutundika mwili
↧