Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Irene Uwoya afanya kituko.....Apiga picha za nusu Uchi na kuzitundika...

Katika  hali  isiyokuwa  ya  kawaida, msanii  mkubwa  wa  bongo  movie, Irene  Uwoya  ametupia  picha  mtandaoni  akiwa  hana  nguo  ya  juu  kiasi  cha  kutafsiriwa  vibaya  na  mashabiki  wake...

View Article


Lulu Michael kawa Mtamu balaaa....

Mcheza  Filamu  maarufu  nchini  Elizabeth  Michael  'Lulu'  ameonekana  kwenye  mtadao  wa  Instagram  akiwa  ametupia  picha  zake  zenye  muonekano  wa  kunoga, kaiva, kawa  mtamu balaa.. Picha...

View Article


Rose Ndauka: Jiheshimu ili Uheshimike

Mkali  wa  filamu  za  Kibongo, Rose  Ndauka  amesema  kuwa  katika  maisha  yake  amejiwekea  utaratibu  wa  kujiheshimu  ndio  maana  anaheshimika  na  watu  wa  kila  rika , tofauti  na  ilivyokuwa...

View Article

Justin Bieber anasa mrembo huyu baada ya kurushiana makonde na Orlando kwa...

Mwimbaji Justin Bieber ambaye jana alitawala vichwa vya habari baada ya kurushiwa makonde na muigizaji Orlando Bloom kwa ajili ya mrembo Miranda Kerr, ameonesha jinsi alivyo na kisu kirefu zaidi kwa...

View Article

Lady Jay Dee kuwasili Dar August 3 akitokea Marekani na tuzo ya AFRIMMA

Anaconda, Lady Jay Dee ambaye ameshinda tuzo ya AFRIMMA kama mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki atatua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, August 3 mwaka huu...

View Article


Diva kwa GK: You are the most romantic, the most perfect husband taken by...

FAIDA  kubwa mwanaume anaweza kupata akidate na Loveness Diva ni promo  za kutosha mbele ya followers wake kwenye mitandao ya kijamii. Ukimtoa Mo Rocka, huenda GK akawa boyfriend wa mtangazaji huyo wa...

View Article

Tido Mhando akabidhi ofisi baada ya kumaliza mkataba wake na Mwananchi (MCL)

Francis Nanai (kulia) na Tido Mhando (kushoto) wakati wa makabidhiano   Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited(MCL), Tido Mhando jana (July 31) amekabidhi ofisi baada ya...

View Article

Nafasi za Mafunzo ya Utengenezaji wa Mashine za kutotoresha Vifaranga Vya Kuku

Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  MRADI  WA  ELIMU  YA  UJASIRIAMALI  MIJINI  NA  VIJIJINJI  inatangaza  nafasi  za   MAFUNZO  YA  UTENGENEZAJI  WA  MASHINE  ZA  KUTOTOLEA  VIFARANGA  WA...

View Article


Uganda yalegeza Masharti ....Yafuta sheria dhidi ya ushoga ambayo...

Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.   Kadhalika sheria hiyo ilizua gumzo sana sio tu...

View Article


Watuhumiwa 19 wa UGAIDI Wapandishwa kizimbani jijini Arusha

WATUHUMIWA19 wa milipuko ya mabomu jijini Arusha leo wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi na kusomewa mashitaka ya mauaji, kula njama na kushawishi, ugaidi huku wakitakiwa  kutojibu...

View Article

Nyumba zaidi ya 700 zateketezwa kwa moto Tabora

Jumla ya kaya 366 hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zipatazo 785 ambazo zinaitwa mabanda, pamoja na mabanda ya tumbaku 118, kuchomwa moto na magunia zaidi ya 600 kuteketezwa,katika kile...

View Article

Wimbo mpya wa Nicki Minaj ‘Anaconda’ unaotarajiwa kutoka rasmi Agosti 4...

Wiki hii Nicki Minaj alitangaza kusogeza mbele tarehe ya kutoa single yake mpya iitwayo ‘Anaconda’ ambayo hapo awali ilipangwa kutoka Jumatatu ya Julai 28, na sasa itatoka Jumatatu ya Agosti 4....

View Article

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown...

View Article


Taarifa kwa Umma kuhusu Kuchukua TAHADHARI Dhidi ya Ugonjwa wa Ebola

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA EBOLA Mnamo mwezi wa Machi 2014 Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ilipokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu ugonjwa wa...

View Article

UKAWA Wafunga Mjadala......Wasisitiza hawatarudi bungeni

KAMA ndivyo, huenda Bunge Maalumu la Katiba, linalotarajiwa kuanza awamu ya pili ya vikao vyake keshokutwa mjini Dodoma, litafanyika bila ya kuwa na wajumbe kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi...

View Article


Askofu Kakobe: Ninaunga mkono Ukawa kususia Bunge la katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe ameongeza chumvi katika Mchakato wa Katiba kwa kueleza kuwa anaunga mkono msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...

View Article

Shambulio la Israel katika shule ya UN Palestna Laua Watu 10

Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma ya kwanza. Mpalestina huyu akijaribu kuokoa maisha ya mtoto baada ya kushambuliwa na Israel leo. Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo...

View Article


Askari FEKI Mwingine wa Usalama barabarani Anaswa jijini Dar

Askari feki wa Usalama Barabarani ambae Jina lake halikufahamika haraka akiwa chini ya Ulinzi mkali wa Askari Polisi (hayupo pichani) mara baada ya kukamatwa kwa kujifanya ni askari wa usalama...

View Article

PICHA: Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 na Gari Jipya...

Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi.  Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia...

View Article

Bunge la katiba kuanza Kesho bila UKAWA

BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>