Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

PICHA: Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 na Gari Jipya baada ya kufunga ndoa

$
0
0
Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi.  Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine.   Kwa mujibu wa JB aliyehudhuria harusi hiyo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>