Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watuhumiwa 19 wa UGAIDI Wapandishwa kizimbani jijini Arusha

$
0
0
WATUHUMIWA19 wa milipuko ya mabomu jijini Arusha leo wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi na kusomewa mashitaka ya mauaji, kula njama na kushawishi, ugaidi huku wakitakiwa  kutojibu chochote. Kesi yao imeahirishwa na itatajwa tena Agosti 15, mwaka huu.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>