Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Nyumba zaidi ya 700 zateketezwa kwa moto Tabora

$
0
0
Jumla ya kaya 366 hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zipatazo 785 ambazo zinaitwa mabanda, pamoja na mabanda ya tumbaku 118, kuchomwa moto na magunia zaidi ya 600 kuteketezwa,katika kile kilichodaiwa kuwa walikuwa wakiishi ndani ya hifadhi za Usoke, Igombe na Ugala, wilayani Urambo mkoani Tabora kinyume cha sheria.   Wakizungumza kwa masikitiko walipohifadhiwa na wananchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>