Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Justin Bieber anasa mrembo huyu baada ya kurushiana makonde na Orlando kwa ajili ya msichana

$
0
0
Mwimbaji Justin Bieber ambaye jana alitawala vichwa vya habari baada ya kurushiwa makonde na muigizaji Orlando Bloom kwa ajili ya mrembo Miranda Kerr, ameonesha jinsi alivyo na kisu kirefu zaidi kwa watoto wazuri.   Bieber ameonekana akila bata kwenye yacht katika eneo la Ibiza na mrembo wa Australia anaefahamika kwa jina la Shanina Shaik.   Shanina Shaik ambaye ni mwanamitindo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>