Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma ya kwanza.
Mpalestina huyu akijaribu kuokoa maisha ya mtoto baada ya kushambuliwa na Israel leo.
Mmoja wa majeruhi katika shambulio hilo akipelekwa kituo cha afya.
Baadhi ya Wapalestina wakilaani mashambulio yanayofanywa na Israel nchini huo huku miili na majeruhi ikiwa chini.
Majeruhi wakizidi kupatiwa huduma ya kwanza.
*
↧