Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ubora hafifu wa Elimu Wakwamisha AJIRA Kwa Wahitimu wa Vyuo Vikuuu......Wizara Yakiri kwamba Wengi wao HAWAAJIRIKI

$
0
0
Ubora hafifu wa wahitimu wa vyuo vikuu kiasi cha kusababisha wengine kutoajirika, vimeigusa serikali na sasa inatarajia kuja na mpango wa kukabili hali hiyo.   Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imekiri kwamba rejea mbalimbali za waajiri zinaonesha upo  upungufu katika ubora wa wahitimu kiasi cha kutoajirika, jambo ambalo imesema haiwezi kulinyamazia.   “Rejea mbalimbali za waajiri

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>