Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Makanisa Yanayoendekeza Vurugu Kufutiwa USAJILI Wake

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema yeye mwenyewe atayafuta makanisa yote yanayoleta vurugu na uvunjifu wa amani kwa kuwa hayatoi taswira ya kile wanachopaswa kufanya na ni aibu...

View Article


Wanafunzi Watano WALAWITIWA Kwa Mpigo na Mwenzao

Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la sita kwa tuhuma nzito ya kuwalawiti wenzake watano kwa mpigo. Tukio hilo la kusikitisha...

View Article


Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 28 July 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  tarehe  28  July  2014

View Article

Shule kuwatimua Watumia VIPODOZI na Wavaa MILEGEZO

Shule ya Sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, imetangaza kufukuza wanafunzi wote wanaotumia vipodozi, wanaovaa sketi fupi, milegezo na wanaotumia simu za mkononi shuleni....

View Article

Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa.....Amtaka Waziri...

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amemtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kujiuzulu kutokana na sakata la utupaji viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es...

View Article


Mke wa Kingwendu Abakwa.....

MKE  wa  Kingwendu  ambaye  ni  muigizaji  maarufu  wa  filamu  za  vichekesho  nchini  amefanyiwa  kitendo  kibaya  cha  ubakaji  na  mwanaume  aliyefahamika  kama  Upunguvuku  katika  pagala  moja...

View Article

Hongera Ray C: Video Queen wa wimbo wa Ice Cream aanza kupona UTEJA...

Mrembo  Doreen  aliyekuwa  video  Queen  wa  wimbo  uliotokea  kutamba  miaka  ya  nyuma  wa  Ice  Cream  ulioimbwa  na  Haji  Nura  'Noorah'  akimshirikisha  Suma  Lee  ameanza  kurejea  katika  hali...

View Article

Picha Tatu za Bahati Bukuku akiwa Hospitalini baada ya kupata Ajali mbaya ya...

Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Lusako Bukuku ameumia mgongo na maeneo kadhaa ya mwili (nusu kifo) kiasi cha kushindwa kukaa, kusimama wala kutembea kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea...

View Article


Mitambo na Ving'ora katika Tawi la Stanbic Bank Kariakoo Vyawakurupusha...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta majambazi watano ambao jana tarehe 27/7/2014 saa 8.00 mchana walifika katika benki ya Stanbic Tawi la Kariakoo lililoko...

View Article


Sikukuu ya IDD: Ulinzi Waimarishwa jijini Dar.....FFU, Polisi Wanamaji,...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka mikakati ya mpango kazi kama ifuatavyo:- 1. Limepanga kushirikiana na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama ikiwa ni pamoja na Kikosi cha...

View Article

Majambazi 10 HATARI Wakamatwa na Bunduki 8.....Mmoja ni mwanamke anayejua...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao hatari wa majambazi wapatao kumi (10) mmoja wao akiwa ni mwanamke anayeshiriki kikamilifu wakati wa matukio ya ujambazi....

View Article

Breaking News: Sakata la Viungo vya binadamu kutupwa.....Viongozi wa Chuo na...

Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya...

View Article

Breaking News: Serikali YASITISHA Ajira Mpya katika Idara ya Uhamiaji...

 

View Article


Baba Awacharaza Viboko Walimu Wawili wa Shule ya Msingi Mkoani...

Vitendo vya baadhi ya wazazi, kudhalilisha walimu vinaendelea, ambapo mzazi mmoja Selemani Juma, amewashambulia walimu wawili kwa viboko.   Amefanya hivyo kupinga mwanawe kurudishwa nyumbani, akashone...

View Article

Uchaguzi CHADEMA: Dr. Slaa, Mbowe kutetea Nafasi Zao

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa rasmi ratiba yake ya uchaguzi wa ndani, ambapo viongozi wa taifa wa chama hicho, akiwemo mwenyekiti na katibu mkuu wapya wanatarajiwa kutangazwa...

View Article


Sangoma Amfyeka Nyeti Mtoto wa Mwaka Mmoja na Kutoweka Nayo

Ni jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na...

View Article

Swala ya Eid El Fitr Yaswaliwa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar Leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal (katikati),Sheikh Mkuu,Issa Shaaban Simba,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar...

View Article


Picha za Rais Kikwete katika Swala ya Eid El Fitr jijini Dar es Salaam

Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakiswali sala ya Iddi El Fitr katika masjid Maamur Upanga jijini Dar es Salaam leo asubuhi  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya waumini wa...

View Article

Askofu: Waziri Chikawe hana ubavu wa kulifunga Kanisa la Moravian

Askofu Kiongozi wa Kanisa la Moravian nchini, Alinikisa Cheyo amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe hana ubavu wa kulifuta kanisa lake.    Cheyo alitoa kauli hiyo jana ikiwa ni siku moja...

View Article

UPDATE: Taarifa ya kusitishwa kwa Ajira za Konstebo na Koplo wa Uhamiaji...

Baadhi ya Vyombo vya Habari leo tarehe 29 Julai, 2014 vimeandika kwa makosa kuwa ajira za Uhamiaji zilizositishwa jana zinahusiana na 70 zilizopatikana baada ya usaili uliofanyika katika Uwanja wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live