Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askofu: Waziri Chikawe hana ubavu wa kulifunga Kanisa la Moravian

$
0
0
Askofu Kiongozi wa Kanisa la Moravian nchini, Alinikisa Cheyo amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe hana ubavu wa kulifuta kanisa lake.    Cheyo alitoa kauli hiyo jana ikiwa ni siku moja baada ya Waziri Chikawe kutishia kulifuta kanisa hilo na madhehebu mengine yatakayoendekeza migogoro.   Akizungumza Dar es Salaam kwenye maombezi ya kuliombea Taifa yaliyoandaliwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>