Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeweka mikakati ya mpango kazi kama ifuatavyo:-
1.
Limepanga kushirikiana na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama ikiwa
ni pamoja na Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji, Kampuni binafsi za ulinzi,
Vikosi vya uokoaji wakati wa majanga, na vikundi vya Ulinzi Shirikishi
ili kuhakikisha kuna udhibiti wa matukio ya uhalifu au fujo zinazoweza
↧