Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mitambo na Ving'ora katika Tawi la Stanbic Bank Kariakoo Vyawakurupusha Majambazi kabla ya kukamilisha Dhamira ya kupora Fedha za Benk

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta majambazi watano ambao jana tarehe 27/7/2014 saa 8.00 mchana walifika katika benki ya Stanbic Tawi la Kariakoo lililoko mtaa wa Swahili. Watatu kati yao waliingia ndani ya benki hiyo wakiwa na mifuko mikubwa wakijifanya ni wateja waliopeleka fedha nyingi katika benki hiyo.  Watu hao watatu walipoingia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>