Mkurugenzi
wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo
Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) na baadaye kuwaondolea mashitaka
kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashtaka ya kushindwa kufukia viungo
vya binadamu na kupeleka hati ya kufukia viungo vilivyotumika
kufundishia kwa Kampuni Coroner.
Vigogo
hao ni, Venkat Subbaian (57), Appm Shankar (64),
↧