Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mfanyakazi wa Ndani ( Hausigeli ) anusurika kufa baada ya kukatwakatwa mapanga na Bosi Wake.

$
0
0
Msichana wa kazi za ndani, Fonolia Lembres (12) amenusurika kuuawa na mwajiri wake aliyetambulika kwa jina la Emmanuel Msovera ambaye ni kondakta wa Hiace, baada ya kushambuliwa kwa kipigo na kukatwakatwa mapanga mwilini. Fonolia ambaye kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount-Meru, jijini Arusha, amejeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wa kushoto na maeneo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>