Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wema Sepetu Aanika Ugomvi wake na Mama Yake Mzazi.....Asema chanzo ni mama kumkataa Diamond

$
0
0
Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa akiupinga mara kwa mara. Akiongea  na  mwandishi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini anamshukuru Mungu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>