Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lowassa: Sifadhili ACT-Tanzania.....Asema ni Upuuzi kuhusishwa na chama hicho cha Siasa, Adai ni mpango wa kumchafua na kumgombanisha

$
0
0
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema hatua ya kuhusishwa kwake na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) ni upuuzi na mwendelezo wa mikakati ya kumchafua.   Kauli ya Lowassa imekuja siku moja baada ya kuhusishwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), kwamba kwa pamoja wamekuwa wakipanga mikakati ya siri ya kuhujumu chama hicho.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>