Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugomvi wa Jaji Werema na Kafulila wachukua sura mpya baada ya wawili hao...

Mvutano kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila umechukua sura mpya baada ya mwanasheria huyo kugoma kupatanishwa huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee wa kanisa Aumbuka baada ya kufumaniwa Gesti na kibinti kidogo kilicho...

Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amina Maige akana Shitaka la kumchoma Pasi na Kumng'ata Mfanyakazi wake wa...

Mkazi wa Mwananyamala, Amina Maige(42) anayetuhumiwa kumng'ata mfanyakazi wake wa ndani,  amepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo kukamilika.   Amina  alisomewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya Mdogomdogo..... Diamond aongeza swagga za farasi na watoto wa kizungu

Kila jua linapochomoza, hitmaker wa ‘My Number One’ huwa na jambo la kuwafanya mashabiki wamzungumzie na ndio maana kila siku Diamond amekuwa kwenye headlines mbalimbali.    Akiwa na video...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke aliyeasi dini ya kiislamu na kuolewa na Mkristo aachiwa huru...

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.   Meriam Ibrahimu alikwenda katika ubalozi wa Marekani uliopo mji Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini awavaa Zitto na Kafulila......Adai...

SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraza la Mitihani labadili mfumo wa kupanga madaraja ya Ufaulu....Matokeo ya...

Matokeo ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA).    Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu watatu wafariki dunia, kumi wajeruhiwa katika Ajali Ya Noah mkoani Singida

Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kupasuka tairi ya nyuma na kubiringita mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Snura Majanga Alia na Rushwa ya Ngono.....

Msanii  wa  muziki  na  filamu  Snura  Mushi  amebainisha  kuwa  rushwa  ya  ngono  kwa  wanawake  ni  kikwazo  kikubwa  kinachowakwamisha  wanawake  kutimiza  ndoto  zao... Snura  aliamua  kungukia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael: Sina muda wa kumbembeleza Mwanaume coz wanaonitongoza kwa siku...

Wakati  wanawake  wengine  wakionekana  kubembeleza  penzi  na  kujinyenyekeza  kwa  wapenzi  wao ili wasiachike,  Lulu  Michael  anasema  hana  muda  huo  kwani uzuri  wake  unatosha  kuwavuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Amini aanika Siri ya kufunga Ndoa ya fasta fasta.....Abadili Jina...

Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Amini Mwinyimkuu amefunguka kuwa, aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza na mwanahabari wetu, Amini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakika Uzee Mwisho Chalinze.....Mzee Magali Aukana UZEE, Asema bado ana nguvu...

Msanii  wa  filamu anayeweza kushika kipande chochote na kufanya vizuri, Charles Magali  maarufu  kama  Mzee Magali  amesema  yeye  si  mzee  bali  anatumia  jina  hilo  kwenye  sanaa  na  bado  ana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mungu hashindwi: Hatimaye Flora Mbasha na mumewe wapatana....... Mwanasheria...

Hakuna  neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa. Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana.   Kwa mujibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa miaka 13 aikoa Nigeria Kulipuliwa na bomu kubwa

Siku chache baada ya kutokea shambulizi kubwa la bomu katika soko kubwa ‘Mall’ jijini Abuja, Nigeria mtoto mwenye umri wa miaka 13 amesaidia kuwaokoa raia wa Nigeria kushambuliwa na bomu kubwa baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Boko Haram waanza kuadhibiwa Kichawi......Nyoka wa Ajabu na Nyuki Wawatoa...

Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye sumu kali na nyuki kuwashambulia. Habari hizi zilielezwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mauaji yaelekezwa CCM......Mwenyekiti wa CCM kata ya Busambala Butiama auawa...

Watu  wanaodhaniwa  kuwa ni majambazi wamemuua kinyama kwa kupiga  risasi moja ya kichwani mwenyekiti  wa chama cha mapinduzi  kata ya Busambala wilayani Butiama mkoani Mara Bw Willison Opio mwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahari yazua balaa msibani.....Baba wa mtoto azuiwa kuzika, ngumi...

FAMILIA mbili mjini Mpanda zimejikuta zikiingia katika uhasama mkubwa, kiasi cha kupigana fimbo na ngumi makaburini katika ugomvi wa kugombea kuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu ndo Mshindi wa tuzo ya BET iliyokuwa inawaniwa na Diamond Platnumz pia.

Hii ilikua siku nyingine muhimu kwa Tanzania na Africa kwa ujumla ambapo yalikua yanasubiriwa matokeo ya tuzo ya BET sanasana kipengele wanachowania tuzo wasanii wa Afrika akiwemo Diamond Platnumz....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maneno zaidi ya 60 aliyoyatoa Diamond baada ya tuzo ya BET aliyokuwa akiwania...

Baada ya mshindi wa tuzo ya BET 2014 kwa wasanii wa Afrika kutangazwa kuwa Davido wa Nigeria, staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aliyekua anawania pia tuzo hiyo ameandika ya moyoni kwa watu wake....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 30 Juni 2014

                              Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  30  Juni  2014

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>