Mvutano kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji
Frederick Werema na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David
Kafulila umechukua sura mpya baada ya mwanasheria huyo kugoma
kupatanishwa huku akitishia ‘kumshughulikia’ mbunge huyo.
Ugomvi baina yao uliendelea jana asubuhi nje ya
Ukumbi wa Bunge muda mfupi baada ya Naibu Spika, Job Ndugai kuahirisha
kikao cha Bunge hadi
↧