Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ugomvi wa Jaji Werema na Kafulila wachukua sura mpya baada ya wawili hao kukataa kupatanishwa.....Kafulila aliitwa TUMBILI, Werema akaitwa MWIZI

$
0
0
Mvutano kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila umechukua sura mpya baada ya mwanasheria huyo kugoma kupatanishwa huku akitishia ‘kumshughulikia’ mbunge huyo.    Ugomvi baina yao uliendelea jana asubuhi nje ya Ukumbi wa Bunge muda mfupi baada ya Naibu Spika, Job Ndugai kuahirisha kikao cha Bunge hadi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>