Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke aliyeasi dini ya kiislamu na kuolewa na Mkristo aachiwa huru tena......Azidi kusisitiza kuwa yeye ni Mkristo

$
0
0
Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.   Meriam Ibrahimu alikwenda katika ubalozi wa Marekani uliopo mji Mkuu wa Khartoum. Mumewe ana asili ya Sudan Kusini lakini kwa sasa ni raia wa Marekani.   Mwanamke huyo aliachiliwa baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo siku ya jumatatu lakini alishikiliwa tena na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>